ETOILE du Sahel jioni hii imefanya mazoezi uwanja wa Taifa Dar es salaam kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya Yanga itayopigwa uwanja huo.
Hiyo itakuwa mechi ya kwanza ya hatua ya 16 ya kombe la Shirikisho na mchezo wa marudiano utapigwa nchini Tunisia baada ya wiki mbili.



0 Comments