Diwani  wa kata ya Mvinjeni Frank Nyalusi (chadema) akitolewa mahabusu ya mahakama ya  wilaya ya Iringa leo na  watuhumiwa wengine watatu  kupelekwa mahakamani  akihusishwa na vurugu  za machinga na polisi jumapili  iliyopita
 Katibu mwenezi  wa Chadema Iringa mjini Joseph Mgimwa (kushoto) akiwa na  mtuhumiwa wenzake wa  vurugu za machinga na polisi jumapili  iliyopita Bw . Frank Nyalusi ambae ni  diwani wa kata ya Mvinjeni kupitia  Chadema na watuhumiwa wengine wawili  wakifikishwa mahakamani leo Iringa na kufikisha idadi ya watu 78 ambao wamepandishwa kizimbani kwa vurugu hizo akiwemo mbunge Peter Msigwa

 Polisi  wakiwalinda  watuhumiwa wa  vurugu  za machinga na polisi Iringa  ,  watuhumiwa hao  ni Joseph Mgimwa katibu mwenezi (chadema) Iringa  mwenye suti nyeusi anayefuata  aliyevalia  sare za Chadema ni diwani wa kata ya Mvinjeni Bw Frank Nyalusi  na  watuhumiwa wengine William Mbunda na