CHADEMA WASHINDA KATA YA KIRUMBA MJINI MWANZA NA KATA YA LIZABONI MJINI SONGEA
Uwanja wa furahisha Mwanza wananchi wa kirumba kwa maelfu wakisubiri
kutangaziwa ushindi wa diwani baada ya kuishinda CCMM polisi na magari
yao kwa wingi muda mfupi uliopita.
Taarifa zilizotufikia hivi sasa
kutoka katika chanzo chetu kinasema kuwa katika Uchaguzi wa Udiwani kata
ya Kirumba Mwanza Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinaongoza
kwa kupata kura 2938 za kura zote zilizopigwa huku wapinzani wao Wa
Jadi CCM wakipata Kura 2131. Kwa Kura hizo Basi CHADEMA inaweza kushinda
nafasi hiyo ya Udiwani
Na
kutoka Mjini Songea vilevile CHADEMA iweza kushinda nafasi hiyo ya
Udiwani japokua hatukupata idadi ya Kura ambazo kila chama imepata.'
Lukaza Blog

0 Comments