Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hamisi Khalid (kushoto) mkazi wa Mtwara akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hamisi Khalid (kushoto) mkazi wa Mtwara akikabidhiwa hundi yake na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi hiyo baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya kampuni hiyo mlimani city jijini Dar es Salaam. Mlimani City jijini Dar es Salaam. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Rosalynn Mworia ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania (kulia) akimpongeza kwa kumpigia makofi mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na kampuni hiyo, Hamisi Khalid (aliyeshikilia hundi) mkazi wa Mtwara wakati wa hafla ya kukabidhiwa hundi hiyo baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika Makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia (kulia) akisoma tarakimu kwenye hundi yenye thamani ya shilingi milioni 100/- wakati wa hafla ya kumkabidhi hundi hiyo mshindi wa kitita cha shilingi milioni 100/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hamisi Khalid (aliyeshikilia hundi) baada ya kuibuka mshindi wa kitita hicho kupitia promosheni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno JAY au AUTO kwenda namba 15544.
Mshindiwapiliwamilioni 100/- katikapromosheniyaJayMillionsinayoendeshwana Vodacom Tanzania,Hamis Khalidi (30) mkaziwamkoaniMtwaranamjasiriamalianayeuzavifaavyasaluniza kike leoamekabidhiwafedha zakekatikahaflailiyofanyika jijini Dar es Salaam ambakoamefunguaakaunti.
PromosheniyaJayMillionsinayoendeleaikiwainakaribiakufikiamwishomnamoAprili 23, 2015 imekwishawawezeshabaadhiyawatejawa Vodacom kuwamamilionea kwakuwezakujinasuakatikahaliduniyamaisha 
namaishakuwamuruanahadikufikiasasawamekwishapatikanawashindiwawiliwamilioni 100/-, washindiwannewamilioni 10/-nawashindi 39 wamilioni 1/-. Maelfuyawatejapiawamejishindiamudawamaongezi.
Washindiwamilioni 100/-niUwezoMadegengekutokawilayaniKilolomkoaniIringana Hamis Khalidiambayeamekabidhiwakititaalichojishindia.Washindiwamilioni 10/-niZuenaRajabumkaziwaSegerea , Hyness Petro KanumbakutokaRukwa,James Mangu (Mwanza), na Deborah Stanley mkaziwaKimarakwaKombajijini Dar es Salaam.
AkizungumzawakatiakikabidhiwafedhazakezaUshindi, mshindiwashilingimilioni 100 wapromoshenihiyo, Hamis Khalid, amewaombaWatanzaniakutambuamchangomkubwaunaofanywana Vodacom Tanzania katikakujenganakuimarishamaishayaWatanzania.
"NimefuatiliaPromosheniyaJaymillionsnaonainalengakuwakomboakimaishaWatanzaniahususaniwenyekipato cha chinihasa wajasiriamaliwadogowadogokama vile; wamachinga, mama ntilie, napiawastaafuambapokwakiasikikubwatunajuawatuwamatabakahayawanahitajimsaadailikujiendelezakiuchumi. Kwafedhaambazobaadhiyawashinditayariwamezipatawengizimewasaidiakujikwamuanakujiendelezakimaisha,"alisemaKhamis.
AliongezakuwayeyenimfanodhahiriwaWatanzaniakuwapromoshenihiihainaujanjabaliyakwelikwakuwapamojanakuishimkoaniamewezakushindanaleoameingiziwafedhazakekwenyeakaunti. "Sasanimepatamwangakatikamaishayangubaadayakujishindiafedhahizikwasababusijapewamashartiwalautaratibuwowotewamatumiziyafedhahizi, maishaniliyokuwanayoyalikuwayakuhangaikasanakutokananakuwanamtajimdogonasasayamewezeshwanapromoshenihii’’.Alisema.
Khalid alisemakwafedhahizializojishindiaanaonatayariameanza safari yakuwamfanyabiasharamkubwamwenyemafanikiokwakuwaataimarishabiasharayakenakufunguamiradimbalimbaliikiwemokusaidiafamiliayakeambayoinakabiliwanachangamotombalimbalizamaisha.

Aliongezakuwaanamatarajioyakutoamsaadakatikavituovyawatotoyatimakamanjiayakeyakutoashukranikwaushindihuuambaoumebadilishamaishayake.

Akizungumzakatikahaflailiyofanyikamakaomakuuyakampunihiyo,MkuuwaKitengo cha UhusianonaMawasilianowa Vodacom Tanzania Rosalynn MworiaaliwahimizawatejawotekuchangamkiapromosheniyaJayMillionsiliwajishindiemamilioniyafedhakwakuhakikishawanatumaneno JAY kwendanamba 15544 ilikutopotezabahatizao zakushinda.

Aliitajanjianyingineyakushindakuwanikutumaneno AUTO kwendanamba 15544 iwaposimuhainafedhaambapo mtejaakiwekafedhaanakatwashilingi 300/-tu.

“Tunaendeleakuwasisitiziawatejawetuwachekikilasikuilikujuakamanambazaozimeshindahasakipindihikiambachopromosheniinaelekeaukingoni. Kama Khalid asingetumaujumbesikuileangeendeleatunamaishayakekamayalivyokuwabilakujuakamanambayakeilichaguliwakushindakwamaanabadokunamamilioniyakushindayanayowezakubadilishamaishayawatejawetu,”alisema Mworia.
Mbalinakumkabidhizawadiyakenonohiyo, kampuniya Vodacom inamsaidia Hamis kupatamafunzoyaujasiriamalinamatumizisahihiyailikumuwezeshakufanyamatumiziyenyetija.