MATUKIO NA MICHAPO
Home
About
Contact
BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MSATA
by
Jason
Thursday, April 16, 2015
ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo.
0 Comments
Facebook
Subscribe Us
Contact form
0 Comments