MATUKIO NA MICHAPO
Home
About
Contact
WATU WAWILI WAMEKUFA BAADA YA BASI LA FM SAFARI T179CRG KUTOKA DAR KWENDA MBEYA KUGONGANA NA LORI MAENEO YA MIKUMI
by
Jason
Tuesday, March 17, 2015
Watu wawili wamekufa katika Ajali nyingine iliyotokea muda mfupi uliopita huko mikumi kati ya basi T179CRG mali ya Fm safari linalotoka dsm kwenda mbeya na roli aaina ya Fuso. Tutaendelea kukujuza
0 Comments
Facebook
Subscribe Us
Contact form
0 Comments