Msanii Vichekesho maarufu kwa jina la Mzee Majuto Wekeend iliyopita alitakiwa kuwepo Dodoma kwenye ukumbi wa Matei lounge kwa ajili ya kufanya show, Sakata lilikuja pale mwandaaji wa show hiyo kunaswa akiwa analia, Picha lilianza pale ambapo Paparazi wetu alimnasa Dada huyo akiwa
chocho akinunguka kuwa kamtumia Mzee Majuto pesa Taslimu Shilingi laki tatu na nusu kwa ajili ya kuja kupush Mauzo ya CD yake, Ambapo aliwaalika mstaa kibao akiwemo Mzee Majuto,Asha Boko na wengine kibao.
chocho akinunguka kuwa kamtumia Mzee Majuto pesa Taslimu Shilingi laki tatu na nusu kwa ajili ya kuja kupush Mauzo ya CD yake, Ambapo aliwaalika mstaa kibao akiwemo Mzee Majuto,Asha Boko na wengine kibao.
0 Comments