MATUKIO NA MICHAPO
Home
About
Contact
DIAMOND AKAMATWA NA KUACHIWA KWA DHAMANA
by
Jason
Wednesday, October 22, 2014
Staa wa Bongo Fleva,
Nasibu Abdul 'Diamond'
.
Baada ya wacheza shoo wake kukamatwa, hatimaye Diamond naye ajisalimisha polisi Kituo cha Polisi cha Oyster Bay, alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha kuachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZ kituoni hapo.
0 Comments
Facebook
Subscribe Us
Contact form
0 Comments