Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama dawa mbali mbali  zilizotengenezwa kwa kutumia Karafuu kabla ya kufungua  mkutano wa Pan African Competetivenes  Forum (PACF)  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini Bagamoyo August 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia  Profesa Makame Mbarawa. (Picha na Ofisi ya Wairi
Mkuu) PG4A0218
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu  Mahiza (kushoto) na Waziri wa Sayansi na Tekinoloji, Profesa  Makame Mbarawa baada ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa  Pan African Competetiveness Forum (PAC) mjini Bagamoyo  August 13, 2014. Watatu Kulia ni Profesa Burton Mwamila.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A0255
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa  Mkutano wa Mwaka wa  Pan African  Competetativeness Forum,  baada ya kufungu mkutano wa kwenye hoteli ya  Stella Maris Mjini Bagamoyo, August 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia, Profesa Makame Mbarawa  na Wapili kulia ni Mhandisi Mohammed Jibrin kutoka Nigeria na kushoto ni General Garbal kutoka Nigeria (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) PG4A0255_1