Picha Na. 1Naibu Waziri wa Nishati na Madini  Mhe.  Stephen Masele (kulia ) akizungumza na  balozi wa China nchini Tanzania Dr. LU Youqing (kushoto) aliyemtembelea ofisini kwake leo kwa ajili ya  maandalizi ya kongamano  la China – Afrika linalotarajiwa kufanyika  mkoani Arusha, Tanzania mapema Machi, 2015.

Picha Na. 2Balozi wa China nchini Tanzania Dr. LU Youqing (kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Nishati na Madini  Mhe.  Stephen Masele (kulia) juu ya hatua iliyofikiwa ya maandalizi ya kongamano hilo.