Mkurungenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano akitoa hutuba yake wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana.
 Mjumbe wa heshima wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Said El-Maamry akisalimiana na wachezaji wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana.
 Mshambuliaji wa timu ya wasichana ya Amina Ally (jezi nyekundi) akichuana vikali na mlinzi wa Zanzibar Sarah Hashimi katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa kwenye uwanja wa Karume jana. Temeke ilishinda 6-1.