Close control: Frank Lampard and Adam Lallana (right) show off their ball skills

WACHEZAJI wa timu ya taifa ya England hatimaye wameweza kutoka na kufanya mazoezi leo mjini Miami baada ya hali ya hewa kutulia .
Kikosi cha Roy Hodgson kilitarajiwa kufanya mazoezi yao ya kwanza jana jumatatu, lakini dhoruba iliyokuwepo miami aliwafanya wafanye mazoezi kwenye `jimu` badala ya kwenda uwanjani.
Keeping together: Joe Hart (left), Ben Foster (second right) and Fraser Forster (right) warm up
Warming up: Hodgson